Banne

Translate

Saturday, 30 April 2016

RABIES [KICHAA CHA MBWA]




RABIES [KICHAA CHA MBWA]
Ugonjwa wa mifugo uenezwao na mate ya mnyama mwenye ugonjwa huu na kusababisha mabadiliko kwenye mishipa ya fahamu kupooza na kufa.
Viini vya magonjwa, ugonjwa huu huletwa na virus [rhabdovirus]
Uenezwaji, mate kupita kwenye jekaha
DALILI
Ø  Mnyama anabadilika tabia mkali mpole/mpole mkali
Ø  Hapendi kelele wala mwanga mkali
Ø  Hupenda kujificha kwenye sehemu za giza
Ø  Kama hakufungwa hukimbia ovyo huku akiuma
Ø  Wakati mwingine hujin’gata mwenyewe
Ø  Misuli ya taya hulemaa na mate hutoka ovyo

DALILI ZA MZOGA
Ø  Mzoga atakua amekonda
Ø  Tumboni kunaweza kua na vitu ambavyo si vya kawaida mfano mawe n.k

KUZUIA, kuchanja na kuweka karantine

No comments: